iqna

IQNA

jihad ya kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mwakilishi wa harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina mjini Tehran alitoa wito kwa ulimwengu wa Kiislamu kukusanya nguvu zake zote ili kukabiliana na utawala wa Israel.
Habari ID: 3477763    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/19

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina imesema inajiandaa kwa "vita vikubwa" na utawala wa kikoloni wa Israel unaokalia ardhi za Palestina kwa mabavu, mwanachama wa harakati hiyo alisema.
Habari ID: 3476147    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/25

Rais wa Iran katika mkutano na mkuu wa Jihadul-Islami
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi amesema, leo wananchi wa mataifa ya Kiislamu ya eneo wanauchukia mno utawala ghasibu wa Kizayuni na wanaamini kuwa Muqawama na au mapambano ya Kiislamu ndio njia kuu na ya msingi ya kukabiliana na utawala huo.
Habari ID: 3475582    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/05

TEHRAN (IQNA)- Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina za Hamas na Jihad ya Kiislamu zimelaani vikali jinai za hivi karibuni za wanajeshi wa utawala haramu wa Israel ambao wamewaua Wapalestina akiwemo mwanamke.
Habari ID: 3475114    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/11